Mbowe Apata Mpinzani Huyu Kutoka CCM Baada ya Matokeo ya Kura za Maoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Moja ya majimbo ambayo matokeo yake yalikuwa yanasubiriwa kwa hamu sana ni jimbo la Hai ambalo lipo chini ya CHADEMA kupitia mwenyekitiwa Chadema taifa Freeman Mbowe.


Ikiwa leo ilikuwa ni siku maalumu ya chama cha Mapinduzi CCM kumtafuta muwakilishi wao na tayari amepatikana, matokeo yapo hivi:

Jimbo La Hai.

JUMLA YA KURA ZOTE 485

1.Sasisha Mafue 124

2.Fuya Kimbita 85

3.Aboubakari Ndosa 48
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad