AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Omar Lali, mpenzi wa mwanawe mmiliki wa Kampuni ya Keroche Tabitha Karanja, Tecra Muigai ameshtakiwa leo huko Lamu kwa mauaji yake.
Tecra aliaga dunia mei tarehe 2 katika nyumba moja ya kibinafsi huko Shella, kaunti ya Lamu alikokuwa akiishi na Lali.
Baada ya kuanguka inaarifiwa kwamba alipelekwa katika hospitali moja ya eneo hilo kabla ya kusafirishwa kwa ndege hadi Nairobi kwa matibabu lakini akaaga dunia kutokana na majeraha aliyopata.
Lali alikamatwa baadaye kutokana na kifo cha Tecra kwa kushukiwa kwamba ndiye aliyemsukuma.
Kulikuwa na ripoti kwamba palikuwa na ugomvi kati yao kabla ya kifo chake, madai ambayo wakili wa bwana Lali anayakana vikali.
Mwezi mei, mahakama ilikataa ombi la kutaka kundelea kumzuilia Lali seli kabla ya kushtakiwa kwake.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK