AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye amemtunuku Medali Rais Mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete kwa mchango wake katika harakati za kurejesha amani Burundi, Medali hiyo ilipokelewa na Balozi Jilly Maleko wakati wa hafla ya kuadhimisha Siku ya Uhuru wa Burundi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK