Romania ni Nchi ya Ulaya inayoongoza Kwa Uchawi...Wamfanyia Donald Trump Kitu Mbaya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watu uwa wanadhani kwamba uchawi uko Africa tu ila hata Ulaya uchawi upo na huko Marekani tena marekani watu wanafanya uchawi hadharani. Nchi kama Romania wachawi wamekuwa matajiri mpaka serikali imamua kuwatoza kodi.

Wanaishi kwenye majumba ya kifahari na uwa wanasafiri mpaka Marekani wakiwafuata wateja wao ambao mara nyingi ni wasanii wakubwa wa filamu na mziki.
Ukiwa Romania si jambo la ajabu kwenda kwa mchawi ili kutatua matatizo yako yani ni sawa na kwenda kwa daktari tu hakuna atakaye kushangaa na wachawi wa Romania wengi ni wanawake warembo tu ukiachilia mbali maajuza.

Uchawi wa nchi nyingi za Ulaya na Marekani unafanana kasoro uchawi wa Cuba na Haiti ambao wanatumia Voudou uchawi ujulikanao kama black magic ni hatari sana hawa watu wa Cuba na Haiti wana uchawi wa kutisha sana hasa wa makafara ya binadamu.

Wakati Donald Trump ameanza kampeni ya kuzuia wahamiaji haramu wachawi toka sehemu mbalimbali duniani hasa kutoka Romania walikutana Marekani ili kuzia mpango wake usifanikiwe na wakafurahi kuwa Congress haikuridhia ujenzi wa ukuta wakasema mpango wao umefanikiwa
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad