Sho Madjozi wa Afrika Kusini Asainiwa na Label ya Epic Records ya Marekani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwimbaji @shomadjozi wa Afrika Kusini amesainiwa na label maarufu duniani, Epic Records ambayo ni kampuni kongwe ndani ya Sony Music Entertainment.

Sho Madjozi ambaye kwa miaka michache tu amejizolea umaarufu mkubwa barani Afrika na dunia, hutumia lugha adhimu ya Kiswahili kwenye nyimbo zake, akitamba na ngoma kama; John Cena, Huku, pamoja na nyingine kibao.

Tayari ameongezwa kwenye orodha ya wakali wa dunia ndani ya label hiyo akiwemo; DJ Khaled, Camila Cabello, Maria Carey, Jennifer Lopez, Rick Ross, Travis Scott, T.I na wengine kibao.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad