Uchebe Amtolea Povu Baba Levo " Sibishani na Mtu Aliyeanza Kuimba Tangu Mimi Sijazaliwa Hadi Leo Anapanda Magari ya Kukodi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Aliyekuwa Mume wa msaniii Shilole ambaye ni Uchebe1 amefunguka mengi kuhusu mambo Ambayo msanii Baba Levo kuwa anamuongelea mambo tofauti tofauti nakufunguka pia hashindani na mtu ambaye hajamzidi kipato

''Mimi Siwezi Kuwatukana Wasanii Lakini Kama Ningekuwa Naimba Ningekuwa Mbali Sana Kwasababu Tu Hapa Nilipo Nashwai Kumiliki Zaidi Ya Magari Kumi Sasa Ntabishana Na Mtu Tangu Ameana Kuimba Mimi Sijazaliwa Hadi Leo Bado Anapanda Magari Yakukodi Itakuwa Ni Mtihani, Siwezi Kubishana Na Mtu Ambaye Mimi Nikiuza Madumu Mawili Napata Laki Tatu Ambao Ni Mshahara Wake Wa Mwezi, UCHEBE

"Mimi Leo Nikipata Pesa Ninaweza Kumuita Mtu Aje Kunichekesha Ndio Kama Wale(BABA LEVO) , Usiombe Uwe Mwenye Akili Mbovu Ni Bora MUNGU Akunyime Pesa Akupe Akili Kwasababu Huwezi Sehemu Nzuri Watu Wanakuheshimu Ukaongea Speech Mbovu, Hivyo Siwezi Kubishana Nae Mtu Mpuuzi Usimpe Nafasi'' UCHEBE
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad