Ujumbe wa Idriss Sultan Baada ya Makonda Kuchukua Form ya Ubunge "Nitaulizia Kura 9"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Naomba uende kituo chochote cha kupigia kura karibu yako na uwaambie Idris amesema nije kuna USHINDI wangu hapa.

Nakumbuka wakati nimefanya launch ya viatu vyangu ulibeba pair 10 bila hata malumbano wala nini, lile nililiweka moyoni na nikasema siku ukinihitaji bila hata kuniomba nitatokea na kuweka mkono wangu kwasababu ni deni la moyoni. Naomba niilipe hiyo fadhila kwa kukupigia kura 10 (acha 9 ziharibike ila nitapiga tu).. Ulikuwepo nilipokuhitaji, nipo na wewe sambamba wakati huu kaka. GO WIN 💪🏽💪🏽💪🏽 @baba_keagan 🔥😎🔥  - #regrann  

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad