Waziri Mwakyembe Afunguka Kuchelewa Kuanza Kwa Ujenzi wa Arena

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Harison Mwakyembe amesema kwamba mlipuko wa virusi vya corona ndio chanzo cha kuchelewa kwa mchakato wa ujenzi wa Arena (Uwanja mkubwa kwa ajili ya shughuli za Muziki na Sanaa)

Waziri @harrisonmwakyembe amesema kuwa, ujenzi ulikuwa uanze mwaka huu kwani tayari usanifu ulikuwa umefanyika. Amesisitiza kuwa mchakato wa ujenzi wa Arena umeanza upya na kuna wadau kutoka nchini Afrika Kusini wameonesha nia ya kushirikiana na serikali katika ujenzi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad