Alikiba: Nilimuomba Rais Magufuli kitu na anaweza kuwepo kwenye mchezo wetu na Samatta, anatukubali sana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Alikiba leo an Samatta wamezindua rasmi mchezo wao na Samatta ikiwa ni muendelezo wa project yao ya Samakiba Foundation ambapo kila mwaka hucheza mchezo rasmi kwa ajili ya kuchangia sekta ya Elimu.


Wakizindua leo Alikiba amesema kuwa tayari wameanza kufanya kazi na wizara ya Elimu kutokana na juhudi zao za kuchangia sekta hiyo.


Mbali na hilo Alikiba amethibitisha kuwa aliongea na Mh. Rais  Magufuli na huenda akawepo kwenye mchezo wao na Samatta ambao utachezwa tarehe 8/8/2020 uwanja wa Mkapa jijini Dar Es Salaam.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad