AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkali wa Bongo Fleva anaeendelea kuteka vichwa vya habari ndani na nje ya nchi , Zuchu , ameonesha dalili kuwa Muda wowote kuanzia hivi sasa , atawadondoshea Mashabiki zake ngoma mpya .
Kupitia ukurasa wake wa Instagram , imesomeka “comment “ ya CEO wa WCB Diamond Platnumz ikiesema kuwa sasa ni Muda wa Malkia huyo kuachia Kazi mpya .
Kupitia ujumbe huo , SIMBA Diamond Platnumz ameandika “It’s Time to Drop another Hit Zulu” , akimaanisha kuwa sasa ni Muda muafaka wa kudondosha HIT mpya Mjini .
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK