AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chanzo cha kuaminika ndani ya Yanga kilisema kuwa mazungumzo baina ya pande hizo mbili yanaendelea vizuri na kilichobaki kwa sasa ni suala la muda tu ili kuona kama wataweza kufi kia makubaliano au la.
“Ni kweli upo mpango wa kumsajili Farid Mussa kama sehemu ya kuimarisha kikosi chetu kwa ajili ya msimu ujao na tayari uongozi unaendelea na mazungumzo na mchezaji husika.
“Hivyo kama pande zote zitaafi kiana basi ishu ya Farid kuvaa uzi wa Yanga kwa msimu ujao itabaki kuwa suala la muda tu,” kilisema chanzo hicho.
Spoti Xtra, lilimtafuta Farid ambaye alikiri kuhitajika na baadhi ya klabu lakini kuhusu wapi atasaini, alisema kila kitu kitakuwa wazi hivi karibuni.
“Ni kweli nimekuwa nikihusishwa kujiunga na baadhi ya klabu hapa nchini kutokana na ukweli kwamba mimi ni mchezaji huru kwa sasa baada ya kuachana na CD Tenerife.
“Ni mapema sana kusema ni wapi nitaelekea lakini mambo yakiwa sawa basi kila kitu kitakuwa wazi,” alisema Farid
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK