Harmonize Afunguka Tetesi za Kuachana na MKE wake Mzungu Ajulikanaye Kama Sarah

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii Maarufu hapa Bongo na CEO wa KondeGang, Harmonize amefunguka kutokana na Skendo Zinazo Endelea kuwa yeye na Sarah wameachana Kutokana na Harmonize kuacha kumpost Sarah Kwenye Account yake ya Instagram Harmonize Amesema "UKWELI NI KWAMBA MIMI NA MKE WANGU SARAH HATUWEZI KUACHANA, KUHUSU KUMPOST INSTAGRAM TUMEAMUA TUPUNGUZE MAPENZI YA MTANDAONI"-Ameongea Harmonize.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad