AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa kweli wanawake hii kitu ngoja niwaambie ,,,,zile harufu zenu ambazo huwa mnatoa kabla hamjajipulizia pafyumu huwa zinaleta hamasa kubwa sana ya mapenzi kuliko hayo mapafyumu ya gharama mnayojipulizia
Kwa kifupi nikikaa na demu ambaye hajajipulizia pafyumu kile kiharufu chake kinachotoka huwa kinanivutia sana yani kuliko nikikaa na demu anayenukia pafyumu.
Hii siri nimewamegea usiipuuze izingatie sana.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
NA MIMI HUWA NAKIPENDA SANA KILE KIHARU CHA ASILI. WANAWAKE NAOMBA MBADILIKE.
ReplyDeleteKunuka kibeberu tumegoma!acha tuendelee tu kupoteza uhalisia!!!
ReplyDelete