Ilitulazimu kuwajadili Wagombea kwa kina ili tujiridhishe- JPM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




“Uchambuzi wa kila mmoja wa kina tunao, Kamati Kuu tumejadili vizuri, hatujampendelea Mtu au kumnyima haki yake, ila ilitulazimu kutumia taarifa nyingi na kuwajadili Wagombea kwa muda mrefu ili watakaopotishwa wawe wenye uwezo wa kuipeperusha bendera ya CCM na kutupa ushindi”-JPM

“Miongoni mwa Wabunge na Wawakilishi atapatikana Waziri Mkuu, Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar,Mawaziri, Spika nk, hivyo ilitulazimu kuwajadili Wagombea kwa kina ili tujiridhishe tutakaowapitisha wana sifa zinazostahili kuwa Viongozi na wanafahamu Dira za Nchi na Sera za CCM”-JPM

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad