AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wagombea wa nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum(Vijana), waliofanikiwa kupenya kwenye nafasi 6 Tanzania Bara baada kuchaguliwa na Baraza kuu la UVCCM Taifa, Dodoma, (kura za maoni) ni hawa wafuatao.
1. Lulu Mwacha (Arusha) kura 77
2. Halima Bulembo (Kagera) kura 74
3. Juliana Masaburi (Mara) kura 70
4. Lucy (Simiyu) kura 48
5. Asia Halamga (Manyara) kura 33.
6. Judith Kapinga (Ruvuma) kura 33
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK