MANARA: Simba haiwezi kumuacha Chama tuna malengo naye na bado ana mkataba hadi 2021, Yanga wasiwaongopee watu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ujumbe wa Haji Manara kuhusu tetesi zinazoendelea kuwa Mchezaji wa Simba Chama amejiunga na Yanga, Manara ameandika kuwa:-

“Tetesi za @realclatouschama kwenda Kucheza Utopolo msimu unaokuja ni UPUMBAV, Chama ana mkataba na Machampioni wa nchi hii hadi July 2021, Simba haiwezi kumuuza au kumuachia mchezaji ambae tuna malengo nae, waacheni Mazuzu fc waendelee kujidanganya, najua viongozi wao wanataka kuwaongopea watu wao ili kutoa droo na issue ya Morrison, Chama wao ni yule aliyeenda jana.”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad