AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ujumbe wa Haji Manara kuhusu tetesi zinazoendelea kuwa Mchezaji wa Simba Chama amejiunga na Yanga, Manara ameandika kuwa:-
“Tetesi za @realclatouschama kwenda Kucheza Utopolo msimu unaokuja ni UPUMBAV, Chama ana mkataba na Machampioni wa nchi hii hadi July 2021, Simba haiwezi kumuuza au kumuachia mchezaji ambae tuna malengo nae, waacheni Mazuzu fc waendelee kujidanganya, najua viongozi wao wanataka kuwaongopea watu wao ili kutoa droo na issue ya Morrison, Chama wao ni yule aliyeenda jana.”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK