AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Naibu Waziri huyo katika Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora), Mary Mwanjelwa, amedaiwa kutoa rushwa kwa wajumbe wa Mkutano wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Mbeya ili achaguliwe kuwa mgombea ubunge wa viti maalum kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Hii ni baada ya simu yake kuvuja akiwa anaongea na mjumbe Kama amepokea pesa.
Matokeo Ubunge viti maalum Mbeya .
Mary Mwanjelwa - 374
Maryprisca Mahundi - 336
Suma fyamndomo -213
Mary Mbwilo - 199
#UchaguziMkuu2020
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK