Mary Mwanjelwa Ahojiwa Kwa Tuhuma za Kutoa Rushwa Kura za Maoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Naibu Waziri Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora), Mary Mwanjelwa, amehojiwa na Kamati ya Usalama na Maadili ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya kwa tuhuma za kutoa rushwa wakati wa kura za maoni.

Naibu Waziri huyo katika Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora), Mary Mwanjelwa, amedaiwa kutoa rushwa kwa wajumbe wa Mkutano wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Mbeya ili achaguliwe kuwa mgombea ubunge wa viti maalum kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Hii ni baada ya simu yake kuvuja akiwa anaongea na mjumbe Kama amepokea pesa.

Matokeo Ubunge viti maalum Mbeya .
Mary Mwanjelwa - 374
Maryprisca Mahundi - 336
Suma fyamndomo -213
Mary Mbwilo - 199

#UchaguziMkuu2020
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad