AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa mashairi hapa nchini Mrisho Mpoto "Mjomba", ameshea picha mitandaoni ikimuonesha akiwa amevaa viatu huku akiuliza mashabiki zake kwamba aendelee kuvaa viatu au abaki kuwa peku.
Katika picha hiyo ambayo amepost kwenye ukurasa wake wa Instagram ameeleza kuwa ameshaitwa mchawi, mshirikina kwa sababu ya imani yake ya kutembea peku.
"Nimeitwa mchawi, mshrikina na masharti ya mganga kwa kutembea peku, hapo je nirudi peku au nibaki huku" ameandika Mrisho Mpoto.
Ikumbukwe tu msanii huyo alijizolea umaarufu kutokana na style ya kutembea peku popote pale utakapomuona iwe mtaani, studio, mikutano hata akiwa stejini akifanya show na shughuli zingine za kimuziki.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK