AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jeshi la Msumbiji limesema kuwa mapigano yanaendelea katika bandari ya Mocimboa da Praia, baada ya kuripotiwa kuwa wanamgambo wa kiislamu wamewazidi nguvu siku ya Jumatano.
Jeshi limesema bado jitiahada zinaendelea ili kuweka mji huo salama, kwa sababu magaidi hao wanawatumia wenyeji kujilinda.
Kumekuwa na siku kadhaa za mapigano katika bandari ambayo ina utajiri wa gesi kaskazini mwa Msumbiji.
Wanamgambo wanaohusishwa na kundi la 'Islamic State' - wamefanya uvamizi katika baadhi ya miji na kusababisha mamia ya maelfu ya wakazi kupoteza makazi yao.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK