AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika pitapita zangu, na kujionea maisha ya wanaume wenzangu, nimegundua kuwa wanaume wengi hupenda kuoa wanawake wapole ambaye akijadiliana nae jambo hapandi juu kama kifuu cha Nazi ya moto, vile vile mwenye uchumi mdogo asimzidi yeye na zaidi awe na hofu na Mungu na kumshauri mwanaume anapokosea pia Mwenye Mawazo ya Kimaisha.
Wale Wapenda Starehe Ambao ni Wengi kwa Kipindi Hichi Tunawapenda tu kwa Starehe za Muda ila Kuoa na Kuweka Ndani ni Nadra Sana..Je Utafiti wangu ni Sawa ?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK