Paul Makonda "Nikija Tena Kwenye Ofisi Hii Nakuja Kama Mwananchi wa Kawaida Napanga Foleni"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



"Mheshimiwa RC nasema kwasababu ndio naaga na sitegemei tena kurudi katika nafasi hii katika ofisi hii, Nikija basi ni mwananchi wa kawaida kupanga foleni pale na kuweza kusikiliza lakini naamini haya yote tunafanya kwasababu mwenyezi Mungu alitupa nafasi ya Uhai" - aliyekuwa RC DSM Paul Makonda akikabidhi ofisi kwa RC mpya Mhe. Aboubakar Kunenge
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad