Polisi Wazungumza Msafara Wa Lissu Kuvamiwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro kupitia kwa kamanda wa Polisi Emmanuel Lukula limesema wanawashikilia watu 12 mpka Sasa kufuatia msafara wa Mtia Nia wa urais kupitia chadema mheshimiwa Tundu Lissu Kuvamiwa wiki iliyopita na kundi la vijana


Kamanda amesema vijana hao baada ya kutenda tukio hilo walitawanyika na wengine kukimbili maeneo mbali mbali Kama Arusha,longido na Moshi(Pasua) ambapo baadhi yao ndio wamekamatwa huku akisema kwamba kiongozi wa kikundi hicho wanatafutwa na jeshi hilo

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad