AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro kupitia kwa kamanda wa Polisi Emmanuel Lukula limesema wanawashikilia watu 12 mpka Sasa kufuatia msafara wa Mtia Nia wa urais kupitia chadema mheshimiwa Tundu Lissu Kuvamiwa wiki iliyopita na kundi la vijana
Kamanda amesema vijana hao baada ya kutenda tukio hilo walitawanyika na wengine kukimbili maeneo mbali mbali Kama Arusha,longido na Moshi(Pasua) ambapo baadhi yao ndio wamekamatwa huku akisema kwamba kiongozi wa kikundi hicho wanatafutwa na jeshi hilo
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK