Tazama Picha za Fatma Abdallah, Mtangazaji wa Wasafi Media aliyeaga Dunia Ghafla

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kundi la Wasafi media  lingali katika majonzi na linajaribu kufahamu kilichosababisha kifo cha mmoja wao mtangazaji  Fatma Abdallah kwa jina maarufu  Kungwi Mkatashombo.


Mtangazi huyo aliaga dunia mwishoni mwa wiki  siku chache tu kabla ya kuandaliwa kwa hafla ambayo alifaa kuwa  muandalizi mkuu ya  AFRICAN WOMEN SUCCESS CONGRESS, EVENT &EXIHIBITION.

Hafla hiyo ilifaa kufanyika Septemba tarehe 5  katika ukumbi wa Solomon.

Kulingana na posti yake ya mwisho katika mitandao ya kijamii warsha hiyo ilifaa kuwafunza wanawake kuhusu ;


  • Njia za kusuluhisha tofauti na mizozo katika maisha yao na mahusiano
  • Kuwapa wanawake fursa ya kukutana na wataalam ambao kwa kawaida hawangepatana nao
  • Kuwasaidia wanawake kuacha tabia na mitindi inayowafanya kufeli katika biashara
  • Kupasana kuhusu fursa zilizopo za kibiashara  miongoni mwa masuala mengine




-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad