AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amesema Msajili wa Vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi akasome sheria ya nembo ya taifa ya mwaka 1971.
“Mwambieni Msajili wa Vyama vya siasa akasome sheria ya Nemboza taifa ya 1971 ili ajiridhishe kama wimbo wa taifa ni moja wapo ya nembo za taifa zinazolindwa kisheria kabla hajatoa vitisho vya bure kama hivi,” Lissu aliandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa twitter.
Lissu aliongezea kuwa ” Ataje sheria iliyovunjwa kama ipo kabla ya hajatoa kauli za aina hii,”.
Leo Jaji Mutungi ameionya Chadema kwa kuvunja sheria kwa kuongeza ubeti wa tatu kwenye wimbo wa taifa jana wakati wakipitisha jina la atakaye peperusha bendera ya chama hicho katika nafasi ya urais.
Mwambieni Msajili wa Vyama vya Siasa akasome Sheria ya Nembo za Taifa ya 1971 ili ajiridhishe kama Wimbo wa Taifa ni mojawapo ya Nembo za Taifa zinazolindwa kisheria kabla hajatoa vitisho vya bure kama hivi. Ataje Sheria iliyovunjwa, kama ipo, kabla hajatoa kauli za aina hii. pic.twitter.com/NG5xG4qAeV
— Tundu Antiphas Lissu (@TunduALissu) August 4, 2020
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK