Twaha Kiduku Aibuka Mshindi Baada ya Kumtwanga Dullah Mbabe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Twaha Kiduku fahari ya Morogoro ameshinda pambano lake dhidi ya Dullah Mbabe lililopigwa usiku wa kuamkia leo katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Baada ya raundi 10 kupigwa, majaji wote watatu walimpa ushindi Twaha Kiduku wa 93-97, 91-99 na 93-97.

Mashabiki wengi walifurika kushuhudia pambano hilo la aina yake baada ya kutambiana kila mmoja kuonesha mbabe zaidi ya mwenzake.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad