AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Utafiti uliyofanywa na Shirika la Usalama na Ustawi wa Wanyama Duniani (World Animal Protection) umebaini kuku wengi wanaodaiwa kuwa wa Kienyeji katika maeneo mbalimbali nchini si wa kienyeji kama inavyosemwa
Utafiti huo umebaini kuku hao si wa kienyeji bali ni kuku wa kisasa maarufu kama kuku wa kizungu wanaofugwa majumbani kwa kupewa majani pamoja na dawa mbalimbali za kuwakuza na kuwafanya kuwa wagumu
Msemaji Mkuu wa Shirika hilo, Victor Yamo alisema utafiti huo ulifanywa Juni hadi Julai mwaka huu katika Mikoa ya Arusha na Dar es Salaam hivyo watumiaji wanapaswa kuwa makini
Utafiti huo ulifanyika kwa lengo la kujua walaji wananunua nyama za aina gani, kutoka wapi pamoja na kuangalia kama wanafahamu ubora wa chakula na matumizi ya dawa za wanyama
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK