UTAFITI: Kuku wa Kienyeji Wanaouzwa Mitaani Wabainika sio wa Kienyeji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Utafiti uliyofanywa na Shirika la Usalama na Ustawi wa Wanyama Duniani (World Animal Protection) umebaini kuku wengi wanaodaiwa kuwa wa Kienyeji katika maeneo mbalimbali nchini si wa kienyeji kama inavyosemwa

Utafiti huo umebaini kuku hao si wa kienyeji bali ni kuku wa kisasa maarufu kama kuku wa kizungu wanaofugwa majumbani kwa kupewa majani pamoja na dawa mbalimbali za kuwakuza na kuwafanya kuwa wagumu

Msemaji Mkuu wa Shirika hilo, Victor Yamo alisema utafiti huo ulifanywa Juni hadi Julai mwaka huu katika Mikoa ya Arusha na Dar es Salaam hivyo watumiaji wanapaswa kuwa makini

Utafiti huo ulifanyika kwa lengo la kujua walaji wananunua nyama za aina gani, kutoka wapi pamoja na kuangalia kama wanafahamu ubora wa chakula na matumizi ya dawa za wanyama    
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad