Viongozi wa BAVICHA washinda rufaa ya dhamana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Katibu Mkuu wa BAVICHA Taifa, Nusrat Hanje, Mratibu wa Uhamasishaji, Twaha Mwaipaya na wengine 7 wameshinda rufaa yao Na. 111/2020 waliyofungua Mahakama Kuu Jijini humo.

Walikata rufaa hiyo kupinga maamuzi ya Mahakama ya Mkoa wa Singida kuwanyima dhamana katika kesi namba 115/2020.

Jaji Latifa Mansour wa Mahakama Kuu ya Dodoma ameelekeza warudishwe Singida kwa ajili ya mchakato wa kupewa dhamana.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad