AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katibu Mkuu wa BAVICHA Taifa, Nusrat Hanje, Mratibu wa Uhamasishaji, Twaha Mwaipaya na wengine 7 wameshinda rufaa yao Na. 111/2020 waliyofungua Mahakama Kuu Jijini humo.
Walikata rufaa hiyo kupinga maamuzi ya Mahakama ya Mkoa wa Singida kuwanyima dhamana katika kesi namba 115/2020.
Jaji Latifa Mansour wa Mahakama Kuu ya Dodoma ameelekeza warudishwe Singida kwa ajili ya mchakato wa kupewa dhamana.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK