Wema Sepetu na Aunty Ezekiel wapatanishwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Meneja na mfanyabiashara Petitman Wakuache amesema amewapatanisha Wema Sepetu na rafiki yake wa muda mrefu Aunty Ezekiel baada ya kuwepo na taarifa kwamba wawili hao  wanatofauti na imepita muda mrefu bila kuonekana wakiwa pamoja. 


Akitumia ukurasa wake wa Instagram kufikisha ujumbe huo Petitman Wakuache amepost video fupi akiwa na Wema Sepetu na Aunty Ezekiel huku akiwapa onyo kwamba ole wao wagombane tena. 


"Kama kawaida nipo na ndugu zangu wa ukweli kabisa, kwani mlipotelea wapi nishawapatanisha sasa ole wenu mgombane tena, kwa nini mliniacha mwenyewe sasa kwenye group mkaleft" amesema Petitman Wakuache


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad