AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Harmonize amesimulia kwamba wakati anaambiwa alipe hizo pesa hakuwa nazo ila Jembe alimpa kiasi cha shilingi mil 100 na yeye akaongezea mil 200 kwa kuuza baadhi ya vitu vyake alivyokuwa ameviwekeza nchini Italia kwa mke wake.
Mbali na hilo Harmonzie ameongeza kuwa kuna watu wengi sana wana waza kuwa Jembe yupo kwake kwa ajili ya pesa, amekanusha na kusema hilo sio bali Jembe ndio mtu alimfanya asimame mpaka hapa alipo.
Pia ameongeza kuwa yeye anampenda sana Diamond akimaanisha uongozi wake wa zamani na kusema upendo alionao juu ya uongozi huo mungu pekee ndio anajua.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK