Keki hii yazua gumzo, kampuni iliyotengeneza yakiri makosa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Shirika la ndege la Uganda limeadhimisha mwaka wake wa kwanza kwa kukata keki ambayo umbo lake limezua gumzo katika mitandao ya kijamii.

Air UgandaKampuni iliyooka keki hiyo ilibezwa mitandaoni wikendi iliyopita. Kampuni hiyo imekiri kuwa haikutoa vyema muundo wa ndege ya shirika la ndege la Uganda na kuanzisha shindano la kuoka keki tena hiyo.

Katika taarifa yake kampuni ya Britam ambayo inafadhili shindano hilo ilisema:

‘’Tulijaribu kutengeza keki ya muundo wa ndege lakini kama mlivyoona kwenye mitandao ya kijamii hatukufanikiwa’’

Wito sasa umetolewa kwa waokaji keki wakubwa kwa wadogo kushiriki katika shindano hilo ambalo mshindi atafadhiliwa na kutengeza keki na kupewa nafasi ya kuiwasilisha binafsi kwa shirika la ndege la Uganda.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad