Lamine Moro aongeza mkataba Yanga SC

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Klabu ya Yanga SC kupitia kwa Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM Eng Hersi Said ambaye amekuwa akihusika kufanya usajili wa wachezaji wa Yanga SC, amethibitisha kuwa beki wao wa kimataifa ya Ghana Lamine Moro ameongeza mkataba Yanga SC hadi 2023.

GSM ni sehemu ya wadhamini wa Yanga SC upande wa uuzaji na usambazaji wa jezi (kit Supplier) na wamekuwa wakiisaidia klabu hiyo kufanya usajili wa wachezaji na kulipa mishahara.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad