Magufuli: Uongozi sio Madgree, ni kipaji unachopewa na Mungu tu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



“Uongozi sio Madgree, ni kipaji unachopewa na Mungu, Mbunge wenu Lusinde ni Kijana mzuri anafanya kazi nzuri, ndio maana ni Mjumbe wa NEC,niliahidi Barabara ya lami KM 16 kutoka Mlowa hadi Mvumi, RC njoo nikuagize tumalizane hapahapa,zege halilali”

“Niliahidi Km. 16 za kutoka Mlowa mpaka Mvumi zitengenezwe kwa Lami, nataka nikuagize Mkuu wa Mkoa tumalizane hapa hapa, zege hailali, ndani ya miezi miwili mtangaze Tender kwa ajili ya kujengwa kwa kiwango cha Lami”

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad