Mmea Mkubwa Unaokula Nyama....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mmea mkubwa unaokula nyama unajulikana kama 'Montane Pitche' wa aina ya 'Nepenthes Rajah' na una urefu wa sentimita 41

Ulionekana Kisiwa cha Borneo mwaka 2011. Mmea huu ambao una kama dibwi (Pitch) unatumia majimaji yake kuwavutia na kuwanasa wadudu warukao kama buibui wakati mwingine hukamata hata mijusi na vyura

Mimea mingine inayokula nyama ni Flypaper Plant, Cobra Lily na Venus Flytrap

Katika yote hiyo uliovunja rekodi ya kula viumbe wakubwa ni huo Nepenthes Rajah ambao umeingia kwenye Rekodi ya Dunia

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad