AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamera za EATV & EA Radio Digital zimemfuma Mchekeshaji na mwanamitandao Piere Likwidi akiwa na Pisi moja wanapiga stori maeneo ya Sinza kisha kuita Uba na kuondoka zake.
Kwa mujibu wa Piere Likwidi mwenyewe amesema Pisi hiyo ni rafiki yake wala sio mpenzi wake kama watu walivyodhani baada ya kumuona naye.
"Huyu ni rafiki yangu kweli itabidi muamini hivyo, maana sio kila mtu mnayeniona naye kwamba ni moja, mbili au tatu hapa tunapiga stori tu" amesema Piere Likwidi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK