Shilole: Ndoa Siyo Jela

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MWANAMUZIKI na mjasiriamali Zuwena Mohamed ‘Shilole’, ikiwa ni miezi michache baada ya kupitia mgogoro na mumewe Ashraf Uchebe, amefunguka kuwa, ndoa siyo jela, kama kitu ukishindwa, unaondoka tu.



Akipiga stori na Risasi, Shilole amesema kuwa, ndoa nyingi zinapitia migogoro si kwake tu, hata mtu akishindwa anaenda tu.



“Unajua mambo ambayo nimepitia si mimi tu, ni ndoa nyingi zinapitia haya mambo ya migogoro, hivyo usione kitu cha ajabu, kama ukiona mambo magumu, unaondoka tu maana ndoa siyo jela,’’ alisema Shilole.

STORI: HAPPYNESS MASUNGA, RISASI
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad