Tanzia: Mtangazaji wa ITV Agnes Almas Afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MWANDISHI wa habari na mtangazaji wa kituo cha televisheni cha ITV, Agnes Almas,  amefariki dunia ghafla mchana wa leo Alhamisi, Septemba 3, 2020, akiwa njiani kupelekwa katika Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam baada ya kujisikia vibaya alipokuwa nyumbani kwake akijiaandaa kwenda kazini.

Radio One na ITV Tanzania wamethibitisha kutokea kwa msiba huo kupitia akaunti zao za mitandao ya kijamii.


#TANZIA: Tunasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzetu Agnes Almas @ITVTANZANIA. R.I.P AGNES ALMASY.” wameandika ITV kupitia akaunti yao ya Twitter.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad