Umoja wa Ulaya wasema Lukashenko sio rais halali wa Belarus

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Umoja wa Ulaya umesema hii leo kwamba rais Alexander Lukashenko sio kiongozi halali wa Belarus. Umoja huo umesema hatua ya kuapishwa haraka Lukashenko kuingia madarakani ni kitendo kilichokwenda kinyume na matakwa ya wananchi wa Belarus.

Taarifa ya pamoja ya nchi zote 27 wanachama wa Umoja wa Ulaya iliyotolewa imebaini kwamba kile kilichoitwa kuapishwa madarakani, na mamlaka mampya yanayodaiwa na Lukashenko yanakosa uhalali wa kidemokrasia wa aina yoyote. 


Taarifa hiyo imekwenda mbali zaidi na kusema kwamba kuapishwa huko kwa Lukashenko kunakwenda kinyume na matakwa ya sehemu kubwa ya idadi ya watu wa Belarus kama ambavyo imejionesha kupitia maandamano makubwa ya umma nchini humo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad