Rais Magufuli "Jimbo la KAWE Liko Lamekaa Kama Utumwani..Mmedanganywa vya Kutosha"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


 "Jimbo la Kawe limekaa kama utumwani lina shida sana, watu wanateseka na kuna baadhi ya maeneo umeme ni tatizo, ninaomba mfanye mabadiliko ya makusudi mmedanganywa vya kutosha, @ChademaTz nawapenda hata mkitaka nitoe alama hii hapa" Rais MAGUFULI Akiwa Kawe DSM

 

"Naomba mniletee Gwajima najua amepigwa vita mno, ndiyo maana hata ameshindwa kurefuka lakini ni kwa sababu ya ukweli wake, Mwembe wenye matunda ndiyo unaopigwa mawe na watoto, naomba na mimi mnichague niwe Rais wenu" Rais MAGUFULI Akiwa Kawe DSM

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad