AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Donald Trump ameruhusiwa kutoka Hospital baada ya kupatiwa matibabu ya corona kwa siku tatu, kwa sasa atabaki Ikulu kwa muda na hatoruhusiwa kujichanganya na Watu, baada ya kufika Ikulu Trump amevua Mask huku akionesha ishara ya vidole kwamba yuko fit.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK