Good news kama umepoteza kitambulisho cha mpiga kura unaweza tumia hivi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Zikiwa zimesalia siku nane kufikia October 28, 2020 siku ya kupiga kura, nakupa good news kwamba kama utakuwa hauna kitambulisho cha kupigia kura na ulijiandikisha kupiga kura basi unaweza kutumia Kitambulisho cha Taifa, Passport, au Leseni ya udereva kupigia kura katika kituo ulichojiandikisha.


Taarifa hiyo imetolewa na Tume ya Uchaguzi kupitia ukurasa wao wa twitter na mpiga kura inatakiwa jina alilojiandikisha nalo kupigia kura lifanane na lililopo kwenye Passport, Leseni, au Kitambulisho cha NIDA.



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad