AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa lebo ya Konde Gang Harmonize amedokeza ujio wa labum yake ya pili ambayo ataipa jina la HIGH SCHOOL.
Kupitia ukurasa wake wa Instagrama Harmonize ame share post akimuonyesha yupo anaandaa muziki na kuandika HIGH SCHOOL THE Album.
Ikumbukwe mapema mwaka huu Harmonize aliachia album yake ya kwanza iliyoend akwa jina la AFROEAST ambayoa alifanya collabo na wasanii tofauti tofauti wakiwemo Burna boy kutoka Nigeria.
Endapo ataiachia mapema mwaka huu Harmonize atakuwa msanii wa kwanza Tanzania kuachia album mbili ndani ya mwaka mmoja.
Mbali na hilo mmoja wa mameneja wake anayejulikana kwa jina la Mchopa alifanyiwa mahojiano na Clouds Fm na kuthibitisha ujio wa album hiyo ya pili kwa msanii huyo Harmonize.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK