Kwa Kweli Diamond Platnumz Hakamatiki, Atokea kwenye Grammy

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Vichwa vya habari  vikubwa Kutoka Kwa Star wa Muziki kutoka Tanzania na barani Afrika kwa ujumla  @diamondplatnumz , baada ya kufanyiwa mahojiano maalumu na waandaaji wa Tuzo kubwa duniani za Muziki GRAMMYs (@recordingacademy )


Kupitia Website yao Pamoja na Kurasa zao za Mitandao ya Kijamii , Grammy wamemuelezea @diamondplatnumz kama mwanamuziki aliyeweza kubadilisha taswira ya Muziki wa Afrika Mashariki Pamoja na kufikia viwango ambavyo ni ndoto ya kila mwanamuziki kufika .


Grammys Pia wamesifu jitahada za Diamond , kuweza Kuongezea Radha za Kiingereza na Kiswahili katika Muziki wa “BongoFleva” kitu kilichofanya aweze kuvuka mipaka na kufanya kazi na Wasanii wakubwa duniani kama vile @omarion , @richforever , @neyo na @aliciakeys .


Tuzo za Grammys ndio Tuzo kubwa zaidi za Muziki Duniani na ndoto ya kila mwanamuziki ! Hivyo kitendo cha waandaaji wa Tuzo hizi kumzunguzia na kumpa heshima @diamondplatnumz , ni ishara nzuri kwa Muziki wa Afrika Mashariki .




Je, unadhani Diamond ataweza kuandika Historia na kuleta Tuzo ya Grammy Tanzania ?

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad