Mama Dangote Atamani Mondi, Tanasha Warudiane

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MAMA mzazi wa msanii wa muziki wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond’ Sandra Kassim ‘Mama Dangote’, hivi karibuni alishika vichwa vya habari baada ya kuposti picha ya kijana wake akiwa na mkwe wake Tanasha Donna kwenye insta stori yake, kisha akauliza kama wakirudiana itapendeza.


“Wakirudiana itapendeza?” alihoji mama huyo

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad