AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MAMA mzazi wa msanii wa muziki wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond’ Sandra Kassim ‘Mama Dangote’, hivi karibuni alishika vichwa vya habari baada ya kuposti picha ya kijana wake akiwa na mkwe wake Tanasha Donna kwenye insta stori yake, kisha akauliza kama wakirudiana itapendeza.
“Wakirudiana itapendeza?” alihoji mama huyo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK