AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MJINI usipomposti mtu Instagram, watasema una roho mbaya, ukimposti bado watasema unajipendekeza, yaani ilimradi tu waongee.
Hiki ndicho kilichomkuta mwanamitindo chipukizi Bongo Faima Msenga ‘Fahyma’ hivi karibuni baada ya kumposti msanii wa muziki wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond’ na kumtakia heri kwenye siku yake ya kuzaliwa, ambapo waja waliibuka na kudai anajipendekeza
“Ila unajipendekeza wewe” aliandika shabiki huyo.
“Jipendekeze na wewe, maana hakuna matozo ya pesa, ni bure kabisa mpenzi na kama tatizo ni bando, nidm nikutumie vocha,” Fahima alimjibu shabiki huyo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK