Mtoto wa Miaka Mitano Alivyowakazia Wezi Wenye Silaha Nyumbani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mtoto wa miaka mitano huko Indiana Marekani aligoma kuwakimbia Wezi pale walipovamia nyumbani kwao akiwa na Mama yake, alibaki kuwasumbua hadi walipoondoka, Wezi hao walivamia kwenye nyumba hiyo wakiwa wanne huku watatu kati yao wakiwa na silaha.


Wakati Mama yake alipokimbia kwenda kutafuta msaada, Mtoto huyo hakwenda popote bali alibaki eneo la tukio akijaribu kuwafukuza Wezi hao kwa kuwarushia vitu vyake vya kuchezea ambapo baada ya kuona hawatoki, aliamua kudandia mkono wa Mwizi mmoja kati yao 


Hata hivyo hivyo Wezi hao hawakutaka kumdhuru Mtoto huyo kwa chochote na walimchukulia kama Mtoto tu, Mama yake Mzazi amesema Mwanae alimwambia hakuwa anaogopa chochote na alikua anamlinda Mama dhidi ya lolote baya ambalo Wezi wangeweza kulifanya, tazama hii video hapa chini kutazama.

Mtoto wa miaka mitano alivyowakazia Wezi wenye silaha nyumbani (+video)
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad