AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rosa Ree anaamini hustle zake ndizo zimemfikisha hapa alipo leo, mapambano yake kwenye kuupambania muziki wake ndio yamebeba matokeo ya leo hii kutajwa kama female rapper pekee atakaye kiwasha jukwaa moja na @heisrema kutoka Nigeria kesho pale Elements Masaki. "Huwezi kuiongopea hustle yako, huwezi kupata kikubwa zaidi ya ulichokipambania" -: @Rosa_Ree.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK