Rosa Ree anaamini hustle zake ndizo zimemfikisha hapa alipo Kupanda Jukwaa Moja na REMA Kutoka Nigeria Keshi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rosa Ree anaamini hustle zake ndizo zimemfikisha hapa alipo leo, mapambano yake kwenye kuupambania muziki wake ndio yamebeba matokeo ya leo hii kutajwa kama female rapper pekee atakaye kiwasha jukwaa moja na @heisrema kutoka Nigeria kesho pale Elements Masaki. "Huwezi kuiongopea hustle yako, huwezi kupata kikubwa zaidi ya ulichokipambania" -: @Rosa_Ree.


 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad