Sirro asema Jeshi la Polisi halijihusishi na siasa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini  IGP Simon Sirro, amewahimiza askari wa Jeshi hilo kutimiza wajibu 

Akizungumza na waandishi wa habari  hii leo Oktoba 20,2020,visiwani Zanzibar amesema kazi ya jeshi la polisi ni kuhakikisha wanasimamia sheria na watanzania wanafanya uchaguzi kwa amani ambapo pia amewataka wadau wa uchaguzi kutimiza wajibu wao ipasavyo bila kuvunja sheria.


“Tume ya uchaguzi itimize wajibu wao,viongozi wa siasa watimize wajibu wao na kubwa zaidi nazungumzia hili la kusema kuna baadhi ya kikundi cha watu wamesema watatangaza matokeo hiyo imenishangaza kidogo’’, amesema IGP Sirro.


IGP Sirro ameongeza kuwa viongozi wa siasa wanatakiwa kufuata sheria ambapo pia amewakumbusha kwamba wenye mamlaka ya kutangaza matokeo ni NEC na ZEC na si mtu mwingine yoyote.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad