Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara imeendelea leo kwa mchezo kati ya Azam FC dhidi ya Yanga kwenye dimba la Chamanzi jijini Dar, ambapo Yanga imeibuka na ushindi wa goli 1-0.
FT: Azam FC 0-1 Yanga SC (Kaseke 48’)
HABARI HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO
0 Comments