Fahamu Kuhusu Mazishi ya Diego Maradona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Vyanzo mbalimbali vya habari nchini Argentina vimeripoti kuwa Diego Maradona amezikwa mapema asubuhi ya hii leo na watu wachache ambao ni wanafamilia na rafiki wa karibu sana na Maradona kwenye makaburi ya Ardin Bella Vista pembeni ya walipozikwa wazazi wake Dalma na Diego.


Mazishi ya gwiji huyo yameongozwa na rais wa nchi hiyo Alberto Fernandez akiwa amevaa jezi ya Argentinos junior ambayo ndiyo timu ya kwanza Maradona kuanza kuichezea, huku mke wa Rais huyo Fabiola Yañez akiwa amevaa vazi la maua wakati wa maziko hayo.


Mamia waliojitokeza kutaka kuhudhuria mazishi hayo hawakuruhusiwa na vyombo vya usalama kutokana na kinachodhaniwa kuwa Maradona huenda alifariki kwa ugonjwa wa Corona hivyo wamefanya jitihada za kukwepa mkusanyiko wa makusudi kujihadhari na ugonjwa huo.


Licha ya mamia hao kuishia kutoa heshima zao za mwisho jana jioni, leo wameendelea kujitokeza kwenye mitaa wakiimba wimbo wa taifa wakiwa wamevaa jezi za maradona kuelekea  Gaza de mayo eneo ambalo walifurahi pamoja na maradona baada ya kubeba kombe la dunia 1986.



TOYOTA CAMRY

SBT Japan

|

Sponsored

Colorado Mom Adopted Two Children, Months Later She Learns The Truth

Articles Vally

|

Sponsored

Dewji aomba radhi kuungana na Kigwangalla | East Africa Television

"Ile ofisi ni ndogo nadhani Tulia haitaki"- Sugu | East Africa Television

Magufuli awashukuru waumini wa dini ya kiislamu | East Africa Television

"Nina watoto 9 kwa mama tofauti" - Ali Choki | East Africa Television

Yajayo Kunduchi yanafurahisha - Gwajima | East Africa Television

RC Kunenge awa mlezi wa KondeGang ya Harmonize  | East Africa Television

EATV

Zifahamu amri 10 za dini ya Diego Maradona | East Africa Television

EATV


TOP STORIES


CURRENT AFFAIRS

Nkurunziza afariki dunia, chanzo chatajwa


CURRENT AFFAIRS

RC Mbeya awatimua Kidato cha 5 na 6 awataka kurudi


ENTERTAINMENT

Seyi Shay ataja orodha ya wanaume alio-date nao


CURRENT AFFAIRS

Kama alivyosema Makonda ''Wameoga'' - Kamwelwe




MOST POPULAR


CURRENT AFFAIRS

Shule zilizojipanga kufanya udanganyifu zatajwa


CURRENT AFFAIRS

CHADEMA yataka akina Mdee na Matiko waulizwe swali


CURRENT AFFAIRS

Viti maalum CHADEMA wala viapo, Mdee anena


CURRENT AFFAIRS

"Siwezi kumlazimisha Sugu anikabidhi ofisi"- Tulia


CURRENT AFFAIRS

JPM afanya uteuzi mwingine, amrudisha Mwakyembe

ABOUT US

ABOUT USADVERTISEJOBSTERMS & CONDITIONSCONTACT USFREQUENTLY ASKED QUESTIONS

NETWORK

IPP MEDIAEAST AFRICA RADIOITVRADIO ONECAPITAL RADIOLOKOPROMO

© 2020 East Africa Television Limited. All Rights Reserved


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad