Familia Yamuondoa Gadiel Simba SC

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroek, amesema beki wa timu hiyo, Gadiel Michael amepata matatizo ya kifamilia jambo ambalo linamfanya akosekane ndani ya kikosi.

 

Gadiel amekuwa akikaa benchi kwa muda mrefu baada ya nafasi yake kuchezwa na Mohammed Hussein ambaye ni chaguo namba moja la Sven.

 

 

Kocha huyo aliyazungumza hayo baada ya kumalizika kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya African Sports ya Tanga inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza uliopigwa Jumatatu.

 

“Tumempa ruhusa Gadiel kutokana na matatizo ya kifamilia aliyonayo lakini atajiunga na timu hivi karibuni,” alisema Sven. Mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Chamazi jijini Dar es Salaam, ilishuhudiwa ikimalizika kwa suluhu.

Leen Essau, Dar es Salaam

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad